MAREKANI KUANZA VITA NA ISLAMIC STATE HUKO AFGHANSTAN ....


Marekani imerusha bom kubwa lenye uzito wa tan 11 kwenye ngome ya islamic state IS, bom hilo ambalo halijawahi kutokea ulimwenguni lilitestiwa kwamara ya kwanza kwa kulielekezea kwenye ngome ya islamic state huko nchini Afghanstan ambapo takribani wanamgambo 36 wameripotiwa kuuwawa. Bom hilo maarufu kwa jina la mama wa mabom lilirushwa kwa ndege maalum ya kijeshi ijulikanayo kam MC-130. Hii inakuja mara baada ya Rais wa marekani kutangaza vita dhidi ya wapiganaji wa kiislam. Endeleavkufuatilia habari kupitia mndeme blog.

Comments

Popular posts from this blog

JE MAANDAMANO YANARUHUSIWA KIKATIBA ? EBU SOMA ZAIDI UTAMBUE MAMBO YA MSINGI KUZINGATIA

MNDEME BLOG PAST PAPERS Form 4 FROM 2013-2020 N E C T A REVIEW Download

ABDUL NONDO AMKATAA HAKIMU