MNDEME BLOG MPATAKUVA , MZUNGWA NA MFUMBASI una majina mengi sana kila kabila hapa nchini huliita wajuavyo wao kikubwa angalia picha twende pamoja. Mti huu ni miongoni mwa miti yenye sifa kubwa katika tiba, mgagani na jani la uzazi. Yote haya yanatumika katika afya hasa ya mama na mtoto. 1. Kama una maumivu wakati wa hedhi au hedhi yako haipo sawa unazdsha au kupunguza siku tafuta mti huu chemsha kisha kunywa mara tatu kwa siku. Wakati ukiwa period kunywa siku tatu mfululizo. 2. Kama una tatizo la kuharibu mimba miezi mitatu miwil na ukaambiwa tumbo lako linaunguza mimba tumia mti huu chemsha tumia kuchambia na kunywa kwa siku tatu mara tatu kwa siku. 3. Mtoto mwenye mchango mchemshie mpe kidogo anywe itatulia. 4. Tumbo linauma tu bila sababu kunywa litapoa 5. Hushiki mimba waweza chemsha kipindi unableed ukanywa siku tatu mara...
MNDEME BLOG Chuo cha Usafirishaji cha Taifa (NIT) kimesema aliyepigwa risasi jana Februari 16, 2018 eneo la Mkwajuni jijini Dar es Salaam na kufariki dunia ni mwanafunzi wa chuo hicho. Chuo hicho kimemtaja mwanafunzi huyo kuwa ni Akwilina Akwiline aliyekuwa anasoma shahada ya kwanza ya ununuzi na ugavi. Leo, Februari 17, 2018, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amekiri mtu mmoja kupigwa risasi na polisi wakati wakiwatawanya wafuasi wa Chadema walioandamana jana. Wafuasi hao wa Chadema wakiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe waliandamana kuelelea ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kinondoni, Aron Kagurumjuli kudai viapo vya mawakala wa chama hicho. Aidha Ofisa Uhusiano wa NIT, Ngasekela David amesema wamepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha wanafunzi huyo. "Ni kweli alikuwa wanafunzi wetu na tumepokea kwa masikitiko taarifa hizi. Tunaendelea kufuatilia zaidi, "amesema David. Hatahivyo mwanafunzi...
Comments