JK KUVIKOSOA VYAMA TAWALA AFRIKA.

MNDEME BLOG
Mh jk amekemea vikali juu ya vyama tawala ambavyo vimekuwa vikiukandamiza upinzani kwa namna moja au nyingine, hayo yamejili huko Afrika ya kusini ambambapo mh huyo amesema upinzani sio uadui hivyo hakuna sababu ya kamata kamata. 
Endelea kufuatilia mndeme blog kila siku ili kujishindia zawadi nono ya nyama choma au tutafute kwa sim no 0652 530 530 kama unamatangazo na utatangaza nasi.

Comments

Popular posts from this blog

JE MAANDAMANO YANARUHUSIWA KIKATIBA ? EBU SOMA ZAIDI UTAMBUE MAMBO YA MSINGI KUZINGATIA

DAWA YA CHANGO LA UZAZI NDANI YA MWEZI MMOJA TU: MNDEME BLOG

BREAKING NEWS MAHAKAMA YATOA HUKUMU KESI YA NABII TITO