ZITO AIKWAMISHA MAHAKAMA

MNDEME BLOG
Breaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaking news

Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imeshindwa kuanza kusikiliza ushahidi katika kesi ya uchochezi inayomkabili mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe baada,kushindwa kufika mahakamani kwa sababu ni mgonjwa.

Comments

MNDEME said…
pole kamanda

Popular posts from this blog

JE MAANDAMANO YANARUHUSIWA KIKATIBA ? EBU SOMA ZAIDI UTAMBUE MAMBO YA MSINGI KUZINGATIA

DAWA YA CHANGO LA UZAZI NDANI YA MWEZI MMOJA TU: MNDEME BLOG

BREAKING NEWS MAHAKAMA YATOA HUKUMU KESI YA NABII TITO